kes 500 Kenyan shillings
kes 500 Kenyan shillings

Polisi wanamzuiliwa mwanamume mmoja kutoka mtaa wa Ziwa la Ng’ombe Bombolulu kaunti ya Mombasa kwa madai ya kumuuwa mkewe baada ya kumpa kichapo kikali cha mbwa.

Inasemekana kuwa mzozo kati ya mwanamume huyo na mkewe ulizuka kutokana na shillingi 500 aliyoachiwa mke huyo kununua chakula.

Asha Bekidusa na taarifa kwa kina

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.